Tuesday, July 13, 2010

Dibaji

Ninaandika visa hivi nikiwa na lengo moja hususan. Kuandika kwa minajili ya kuwavutia watu wowote wale wanaoienzi lugha hii mufti ya Kiswahili. Kiswahili nakienzi kwa mvuto usioweza kumithilishwa na lugha yeyote ile. Kiswahili utamu wake umezidi utamu wowote ule ambao umewahi pitia kwenye ulimi wangu.

Kiswahili kitukuzwe.

No comments:

Post a Comment